Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • “Msaada Katika Wakati Ufaao”
    Huduma ya Ufalme—1997 | Aprili
    • 3 Ile broshua mpya, Mungu Anataka Tufanye Nini?, imekuja kwa wakati unaofaa ili kusaidia kuharakisha kazi ya kufanya wanafunzi. Ingawa yaweza kutumiwa hasa kusaidia watu wenye uwezo mdogo wa kusoma, watu walio wazima wengi na watoto wachanga wenye elimu pia watanufaika kutokana na maelezo yayo sahili ya mafundisho ya msingi ya Biblia. Huenda ikawa ndilo jambo linalohitajiwa hasa kuanzisha funzo ambalo ni hatua ya kuelekea kitabu Ujuzi. Andalizi hili kwa hakika litasaidia wengi zaidi wathamini jinsi wanavyoweza kubarikiwa sana kwa kufanya yale ambayo Mungu anataka.

  • “Msaada Katika Wakati Ufaao”
    Huduma ya Ufalme—1997 | Aprili
    • 1 Inaburudisha kama nini kupokea msaada hasa wakati tunapouhitaji! (Ebr. 4:16) Kwenye “Wajumbe wa Amani ya Kimungu” Mkusanyiko wa Wilaya, tulipata shangwe tulipopewa maandalizi mawili ya pekee ya msaada katika wakati ufaao hasa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki