-
Usitawi wa Muundo wa TengenezoMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Wakati wa miaka iliyofuata, kazi ya waangalizi wasafirio ilipata marekebisho mbalimbali.a Ilizidishwa sana katika 1938 watumishi wote katika makutaniko walipowekwa rasmi kwa njia ya kitheokrasi. Ziara kwenye makutaniko kwa vipindi vya ukawaida wakati wa miaka michache iliyofuata zilitoa fursa ya kuandaa mazoezi ya kibinafsi kwa kila mmoja wa watumishi waliowekwa rasmi na kuongeza msaada katika utumishi wa shambani kwa kila mmoja.
-
-
Usitawi wa Muundo wa TengenezoMashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
-
-
Kutoka 1938 hadi 1941, watumishi wa kanda (eneo) ya dunia walipewa migawo kufanya kazi pamoja na idadi ndogo ya makutaniko kwa njia ya mzunguko, na hivyo kurudi kwenye vikundi vilevile kwa vipindi vya ukawaida.
-