-
Kushiriki na Wengine Siri ya Kupata Furaha ya FamiliaHuduma ya Ufalme—1997 | Septemba
-
-
3 Katika ziara ya kurudia, unaweza kufuatia mradi wa kuanzisha funzo la Biblia kwa kusema:
◼ “Nimefikiria yale uliyosema kuhusu habari ya maisha ya familia, nami nimekuletea kitu ambacho nafikiri utakifurahia. [Mwonyeshe broshua Anataka, fungua ukurasa wa 16, na usome maswali sita yaliyo juu.] Bila shaka, kila mmoja katika familia lazima afanye sehemu yake ili kuchangia furaha ya familia. Ikiwa una dakika chache tu, nitakuonyesha jinsi unavyoweza kupata manufaa zaidi kutokana na habari hii.” Kisha anzeni kujifunza somo la 8.
-
-
Kushiriki na Wengine Siri ya Kupata Furaha ya FamiliaHuduma ya Ufalme—1997 | Septemba
-
-
5 Unaporudi, tumia broshua “Anataka” kuanzisha funzo. Ungeweza kusema:
◼ “Nilipendezwa na utayari wako wa kuchunguza kanuni za Biblia zinazohusu maisha ya familia. Mambo yaliyoonwa yameonyesha kwamba matokeo bora zaidi yanapatikana kwa kufuata shauri lenye kutumika lipatikanalo katika Biblia. Haya ni masimulizi mafupi ya sababu ya kuwa hivyo.” Soma fungu la kwanza la somo la 1 katika broshua Anataka, kutia ndani ama Zaburi 1:1-3 ama Isaya 48:17, 18. Fursa ikiruhusu, chunguza kikumbusha cha hilo somo. Jitolee kurudi mjifunze somo lifuatalo pamoja.
-