Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeftha Anatimiza Nadhiri Yake Kwa Yehova
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Mei 15
    • Hali Mbaya Sana Katika Israeli

      Yeftha anaishi wakati ambapo hali ni mbaya sana. Waisraeli wenzake wameacha ibada safi na wanatumikia miungu ya Sidoni, Moabu, Amoni, na Filistia. Kwa hiyo, Yehova anawaacha watu wake mikononi mwa Waamoni na Wafilisti, ambao wanawakandamiza kwa miaka 18. Wakaaji wa Gileadi, mashariki ya Mto Yordani, wanateseka sana.a Mwishowe, Waisraeli wanarudiwa na akili, wanatubu na kutafuta msaada wa Yehova, wanaanza kumtumikia, na wanaondoa miungu ya kigeni iliyokuwa katikati yao.—Waamuzi 10:6-16.

  • Yeftha Anatimiza Nadhiri Yake Kwa Yehova
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Mei 15
    • Yeftha anaishi wakati ambapo hali ni mbaya sana. Waisraeli wenzake wameacha ibada safi na wanatumikia miungu ya Sidoni, Moabu, Amoni, na Filistia. Kwa hiyo, Yehova anawaacha watu wake mikononi mwa Waamoni na Wafilisti, ambao wanawakandamiza kwa miaka 18. Wakaaji wa Gileadi, mashariki ya Mto Yordani, wanateseka sana.a Mwishowe, Waisraeli wanarudiwa na akili, wanatubu na kutafuta msaada wa Yehova, wanaanza kumtumikia, na wanaondoa miungu ya kigeni iliyokuwa katikati yao.—Waamuzi 10:6-16.

  • Yeftha Anatimiza Nadhiri Yake Kwa Yehova
    Mnara wa Mlinzi—2007 | Mei 15
    • a Waamoni walikuwa wakatili sana. Baada ya miaka isiyozidi 60, walitisha kwamba wangeng’oa jicho la kuume la kila mkaaji wa jiji moja la Gileadi ambalo walishambulia. Nabii Amosi alitaja kwamba wakati fulani waliwapasua wanawake wenye mimba wa Gileadi.—1 Samweli 11:2; Amosi 1:13.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki