-
Alitenda kwa BusaraMnara wa Mlinzi—2009 | Julai 1
-
-
Kwa njia fulani, ni kana kwamba tayari tumemwona Abigaili akichukua hatua ili kurekebisha kosa hilo baya sana. Tofauti na mume wake, Nabali, Abigaili alikuwa tayari kusikiliza. Yule kijana mtumishi alisema hivi kumhusu Nabali: “Yeye ni mtu asiyefaa kitu sana hata mtu hawezi kusema naye.”c (1 Samweli 25:17) Inasikitisha kwamba Nabali hakuwa tayari kusikiliza kwa sababu alijiona kuwa mtu wa maana sana. Watu wengi wana kiburi kama hicho leo. Lakini huyo kijana alijua kwamba Abigaili alikuwa tofauti, na bila shaka ndiyo sababu alienda kumjulisha tatizo hilo.
-
-
Alitenda kwa BusaraMnara wa Mlinzi—2009 | Julai 1
-
-
c Maneno ambayo kijana huyo alitumia yanamaanisha kihalisi “mwana wa beliali (asiye na thamani yoyote).” Biblia nyingine zinapotafsiri maneno hayo zinaonyesha pia kwamba Nabali alikuwa mwanamume “asiyemsikiliza yeyote,” na zinatafsiri hivi sehemu ya kumalizia, “hakuna faida ya kuzungumza naye.”
-