-
Linda Jina LakoMnara wa Mlinzi—2000 | Septemba 15
-
-
“Watu hawamdharau mwivi, akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa,” twakumbushwa. Ijapokuwa hivyo, “akipatikana, atalipa mara saba; atatoa mali yote ya nyumba yake.” (Mithali 6:30, 31) Katika Israeli ya kale, mwizi alihitajika kulipa, hata kama ingemgharimu mali yake yote.a Basi mzinzi angestahili adhabu kali zaidi, kwa kuwa hana kisingizio cha kutenda hivyo!
-
-
Linda Jina LakoMnara wa Mlinzi—2000 | Septemba 15
-
-
a Kwa mujibu wa Sheria ya Kimusa, mwizi alihitajika kulipa mara mbili, mara nne, au mara tano. (Kutoka 22:1-4) Usemi “mara saba” labda wamaanisha kipimo kamili cha adhabu, ambacho kingeweza kuwa mara kadhaa ya kile alichoiba.
-