Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Linda Jina Lako
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Septemba 15
    • “Watu hawamdharau mwivi, akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa,” twakumbushwa. Ijapokuwa hivyo, “akipatikana, atalipa mara saba; atatoa mali yote ya nyumba yake.” (Mithali 6:30, 31) Katika Israeli ya kale, mwizi alihitajika kulipa, hata kama ingemgharimu mali yake yote.a Basi mzinzi angestahili adhabu kali zaidi, kwa kuwa hana kisingizio cha kutenda hivyo!

  • Linda Jina Lako
    Mnara wa Mlinzi—2000 | Septemba 15
    • a Kwa mujibu wa Sheria ya Kimusa, mwizi alihitajika kulipa mara mbili, mara nne, au mara tano. (Kutoka 22:1-4) Usemi “mara saba” labda wamaanisha kipimo kamili cha adhabu, ambacho kingeweza kuwa mara kadhaa ya kile alichoiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki