Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Je, Unabii wa Kimasihi Unathibitisha Kwamba Yesu Alikuwa Ndiye Masihi?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • Angesalitiwa kwa vipande 30 vya fedhae

      Zekaria 11:12, 13

      Mathayo 26:14-​16; 27:​3-​10

  • Je, Unabii wa Kimasihi Unathibitisha Kwamba Yesu Alikuwa Ndiye Masihi?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
    • e Unabii huu unapatikana katika kitabu cha Zekaria, hata hivyo, mwandikaji wa Biblia Mathayo alisema kwamba ‘ulisemwa kupitia nabii Yeremia.’ (Mathayo 27:9) Inaonekana kwamba nyakati nyingine kitabu cha Yeremia kiliwekwa kwanza katika sehemu ya Maandiko iliyoitwa “Manabii.” (Luka 24:44) Inaonekana kwamba Mathayo alitaja “Yeremia” kurejelea mkusanyo huo wote wa vitabu, uliotia ndani kitabu cha Zekaria.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki