Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mfalme Anawasafisha Watu Wake Kiroho
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • Mvuvi akivuta wavu wake ya kukokota ili akusanye samaki baharini

      Wavu wa kukokota unawakilisha kazi ya kuhubiri kuhusu Ufalme kwa wanadamu wote ambao wanafananishwa na bahari (Ona fungu la 18)

      18 Kushusha “wavu wa kukokota . . . ndani ya bahari.” Wavu wa kukokota unawakilisha kazi ya kuhubiri kuhusu Ufalme kwa wanadamu wote ambao wanafananishwa na bahari. “Kukusanya samaki wa kila aina.” Habari njema inawavutia watu wa aina zote—wale wanaochukua hatua na kuwa Wakristo wa kweli, na pia wengi ambao mwanzoni wanaweza kuonyesha kwamba wanapendezwa lakini hawachukui msimamo upande wa ibada safi.e Kukusanya “walio wazuri ndani ya vyombo.” Wanyofu wanakusanywa kwenye makutaniko yanayofananishwa na vyombo, ambamo wanaweza kumtolea Yehova ibada safi. Kuwatupilia mbali samaki “wasiofaa.” Katika kipindi chote cha siku za mwisho, Kristo na malaika wamekuwa wakitenganisha “waovu kutoka katikati ya waadilifu.”f Matokeo ni kwamba wote ambao hawana mioyo minyofu, yaani, wale ambao huenda hawataki kuacha mazoea au mafundisho ya uwongo, hawajaruhusiwa kuchafua makutaniko.g

  • Mfalme Anawasafisha Watu Wake Kiroho
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • f Kutenganishwa kwa samaki wazuri na samaki wasiofaa ni tofauti na kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi. (Mt. 25:31-46) Kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi au hukumu ya mwisho, kunafanywa wakati wa dhiki kuu inayokuja. Kabla ya wakati huo, wote walio kama samaki wasiofaa wanaweza kumrudia Yehova na kukusanywa katika makutaniko yanayofananishwa vyombo.—Mal. 3:7.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki