Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Agosti 15
    • 7. Yesu alikuwa na vitu gani vyenye thamani?

      7 Yesu alionyesha kwamba alipendezwa sana na mambo ya kiroho kwa kuhudhuria kwa ukawaida mikutano ya ibada. Akitumia akili yake kamilifu, inaelekea alielewa kila jambo alilosikia na kusoma katika Maandiko ya Kiebrania. (Luka 4:16) Alikuwa pia na kitu kingine chenye thamani, yaani, mwili mkamilifu wa kibinadamu ambao ungeweza kutolewa dhabihu kwa ajili ya wanadamu. Alipobatizwa, Yesu alikuwa akisali na huenda alikuwa akitafakari kuhusu maneno ya kinabii ya Zaburi 40:6-8.—Luka 3:21; soma Waebrania 10:5-10.a

  • Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi—2010 | Agosti 15
    • a Katika andiko hilo mtume Paulo anarudia maneno ya Zaburi 40:6-8 kulingana na tafsiri ya Kigiriki ya Septuajinti, ambayo inataja maneno “ulinitayarishia mwili.” Maneno hayo hayapatikani katika hati zilizopo za Maandiko ya kale ya Kiebrania.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki