-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutunza Wazazi Waliozeeka?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
Yesu, muda mfupi kabla ya kifo chake, alichagua mtu ambaye angemtunza mama yake, Maria, ambaye alikuwa mjane.—Yohana 19:26, 27.a
-
-
Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutunza Wazazi Waliozeeka?Maswali ya Biblia Yajibiwa
-
-
a Kuhusiana na simulizi hili, kitabu kimoja kinachofafanua Biblia kinasema hivi: “Inawezekana Yosefu [mume wake Maria] alikuwa amekufa muda mrefu uliopita, hivyoYesu alimtegemeza mama yake, na kwa kuwa sasa muda wake wa kufa ulikuwa umefika mama yake angeishije?. . .Kupitia jambo hilo Yesu aliwafundisha watoto wawafariji wazazi wao waliozeeka.”—Kitabu The NIV Matthew Henry Commentary in One Volume, ukurasa 428-429.
-