-
Neno la Yehova ‘Lilikua na Kusitawi’ Licha ya Upinzani“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
13, 14. (a) Yehova alimwezesha Paulo kufanya nini? (b) Wana wa Skewa walifanya kosa gani, na watu wengi leo katika dini zinazodai kuwa za Kikristo wanafanyaje kosa kama hilo?
13 Luka anatujulisha kwamba kwa muda fulani mambo yalikuwa shwari, na Yehova alimwezesha Paulo kufanya “matendo yenye nguvu yasiyo ya kawaida.” Hata nguo na vitambaa ambavyo Paulo alivaa vilichukuliwa na kupelekwa kwa wagonjwa, nao wakapona. Roho waovu walitolewa kwa njia hiyo pia.c (Mdo. 19:11, 12) Ushindi huo dhidi ya majeshi ya Shetani uliwashangaza watu wengi. Hata hivyo si watu wote waliofurahia jambo hilo.
-
-
Neno la Yehova ‘Lilikua na Kusitawi’ Licha ya Upinzani“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
c Huenda “nguo” zinazotajwa ni vitambaa vya mkononi ambavyo Paulo alijifunga kichwani ili kuzuia jasho lisiingie machoni. Na “vitambaa” alivyojifunga vinadokeza kwamba alikuwa akiendelea na kazi yake ya kutengeneza mahema wakati ambapo hakuwa akihubiri, labda mapema asubuhi.—Mdo. 20:34, 35.
-