-
“Wakajazwa Roho Takatifu”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
16. Wakristo wa karne ya kwanza walionyesha jinsi gani roho ya kujidhabihu?
16 Bila shaka, Yehova alibariki kikundi hicho. Masimulizi hayo yanasema: “Wale wote ambao sasa walikuwa waamini walikusanyika pamoja na wakashirikiana katika mambo yote, nao walikuwa wakiuza mali zao na vitu walivyomiliki na kuwagawia wote pesa walizopata, kulingana na uhitaji wa kila mtu.”f (Mdo. 2:44, 45) Kwa hakika, Wakristo wote wa kweli wanapaswa kuiga roho hiyo ya kujidhabihu kwa upendo.
-
-
“Wakajazwa Roho Takatifu”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
f Mpango huo wa muda ulitosheleza uhitaji uliotokea kwa kuwa wageni walibaki Yerusalemu ili kujifunza mengi zaidi kuhusu imani hiyo mpya. Huo ulikuwa mpango wa hiari wa mtu kutoa mali yake, ili vitu vyote vitumiwe kwa ushirika. Haukuwa sera ya ujamaa.—Mdo. 5:1-4.
-