-
“Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
7, 8. Amri ya malaika ilikuwa na matokeo gani kwa mitume, nasi tunapaswa kujiuliza swali gani?
7 Wakiwa jela kabla ya kupelekwa mahakamani, huenda mitume hao waliona kwamba watauawa kwa sababu ya imani yao. (Mt. 24:9) Lakini usiku huo, jambo lisilo la kawaida likatokea—“malaika wa Yehova akaifungua milango ya gereza.”b (Mdo. 5:19) Kisha malaika huyo akawaagiza: “Mkasimame hekaluni, na mwendelee kuwaambia” watu. (Mdo. 5:20) Bila shaka, amri hiyo iliwahakikishia mitume kwamba walikuwa wakifanya jambo linalofaa. Pia, huenda maneno hayo yaliwapa nguvu za kubaki imara hata hali ziweje. Wakiwa na imani yenye nguvu na ujasiri, mitume “wakaingia hekaluni wakati wa mapambazuko na kuanza kufundisha.”—Mdo. 5:21.
-
-
“Lazima Tumtii Mungu Kuwa Mtawala”“Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
-
-
b Hii ndiyo mara ya kwanza kati ya mara 20 hivi ambapo malaika wanatajwa moja kwa moja katika kitabu cha Matendo. Mapema zaidi, andiko la Matendo 1:10 linazungumzia malaika kwa njia isiyo ya moja kwa moja likiwaita ‘wanaume wenye mavazi meupe.’
-