-
Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
Muda mfupi baada ya Yesu kusema maneno hayo, Wayahudi na wageuzwa-imani kutoka sehemu mbalimbali za Milki ya Roma ambazo zimeonyeshwa katika ramani iliyo hapa chini, walikusanyika kwa ajili ya Sikukuu ya Pentekoste. Mahubiri ya mtume Petro siku hiyo yalifanya Ukristo uenee haraka.—Mdo 2:9-11.
-
-
Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
[Sanduku katika ukurasa wa 32]
WALITOKA . . .
Wayahudi na wageuzwa-imani waliosikia habari njema siku ya Pentekoste mwaka wa 33 W.K. walitoka Parthia, Umedi, Elamu, Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto, Asia, Frigia, Pamfilia, Misri, Libya, Roma, Krete, na Arabia. Wengi walibatizwa. Unafikiri walifanya nini waliporudi makwao?
-
-
Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
E1 PONTO
E2 KAPADOKIA
-
-
Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
E2 MESOPOTAMIA
-
-
Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine‘Ona Nchi Nzuri’
-
-
E3 YUDEA
F2 UMEDI
-