Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • gl kur. 32-33
  • Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine
  • ‘Ona Nchi Nzuri’
  • Habari Zinazolingana
  • Falme Zashambulia Nchi Ya Ahadi
    ‘Ona Nchi Nzuri’
  • Nchi Zinazotajwa Katika Biblia
    ‘Ona Nchi Nzuri’
  • Wayahudi Waathiriwa Na Utawala Wa Wagiriki Na Waroma
    ‘Ona Nchi Nzuri’
  • Watu Wa Mungu Warudi Nchini Kwao
    ‘Ona Nchi Nzuri’
Pata Habari Zaidi
‘Ona Nchi Nzuri’
gl kur. 32-33

Ukristo Waenea Katika Nchi Nyingine

AKIWA katika Mlima wa Mizeituni karibu na Bethania, Yesu aliagiza kazi ya kuhubiri ifanywe. Kazi hiyo ingebadili historia ya ulimwengu. Ingeanzia Yerusalemu, eneo lililokuwa karibu kilometa tatu magharibi ya mlima huo. Ujumbe huo ungeenezwa hadi Yudea na Samaria, maeneo yaliyokuwa karibu na Yerusalemu, na hatimaye kufikia “sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”—Mdo 1:4, 8, 12.

Muda mfupi baada ya Yesu kusema maneno hayo, Wayahudi na wageuzwa-imani kutoka sehemu mbalimbali za Milki ya Roma ambazo zimeonyeshwa katika ramani iliyo hapa chini, walikusanyika kwa ajili ya Sikukuu ya Pentekoste. Mahubiri ya mtume Petro siku hiyo yalifanya Ukristo uenee haraka.—Mdo 2:9-11.

Kuenea kwa Ukristo

Punde si punde, mnyanyaso uliotokea Yerusalemu uliwatawanya wafuasi wa Kristo. Petro na Yohana waliwasaidia Wasamaria kusikia na kukubali habari njema. (Mdo 8:1, 4, 14-16) Baada ya Filipo kumhubiria Mwethiopia kwenye barabara ya jangwani ‘iliyotoka Yerusalemu hadi Gaza,’ Ukristo ulienea Afrika. (Mdo 8:26-39) Wakati huohuo, ujumbe huo ulikuwa na matokeo huko Lida, jiji lililokuwa kwenye Nchi Tambarare ya Sharoni, na kwenye bandari ya Yopa. (Mdo 9:35, 42) Baada ya hapo, Petro alienda Kaisaria na akamsaidia Kornelio, afisa wa jeshi la Roma, pamoja na jamaa zake na marafiki wake kuwa Wakristo waliotiwa mafuta kwa roho.—Mdo 10:1-48.

Safari za Paulo

Paulo, ambaye hapo awali aliwanyanyasa Wakristo, akawa mtume kwa mataifa. Katika safari zake tatu za umishonari, na alipoelekea Roma, alisafiri kwa meli na pia kupitia nchi kavu. Mitume na watu wengine walieneza habari njema kwenye miji yenye watu wengi katika Milki ya Roma. Paulo alitamani sana kufika Uhispania (Ona ukurasa wa 2.), naye Petro alitumikia maeneo ya mashariki kama vile Kristo, wafuasi wake walieneza Ukristo katika nchi Babiloni. (1Pe 5:13) Kwa kweli, chini ya uongozi wa nyingine. Kufikia mwaka wa 60/61 W.K., ‘habari njema ilikuwa imehubiriwa katika uumbaji wote ulio chini ya mbingu.’ (Kol 1:6, 23) Tangu wakati huo, habari njema zimehubiriwa “mpaka sehemu ya mbali zaidi ya dunia.”

[Sanduku katika ukurasa wa 32]

WALITOKA . . .

Wayahudi na wageuzwa-imani waliosikia habari njema siku ya Pentekoste mwaka wa 33 W.K. walitoka Parthia, Umedi, Elamu, Mesopotamia, Yudea, Kapadokia, Ponto, Asia, Frigia, Pamfilia, Misri, Libya, Roma, Krete, na Arabia. Wengi walibatizwa. Unafikiri walifanya nini waliporudi makwao?

[Sanduku katika ukurasa wa 33]

MAKUTANIKO SABA

Yesu alituma ujumbe kwa makutaniko saba huko Asia Ndogo. Ona mahali yalipokuwa: Efeso na Smirna yalikuwa pwani; Pergamamu, Filadelfia, na Laodikia yalikuwa bara; Thiatira lilikuwa kando ya mto; na Sardi lilikuwa kwenye barabara muhimu iliyotumiwa na wafanyabiashara. Magofu yaliyofukuliwa ya majiji hayo yanathibitisha kwamba sehemu hizo zinazotajwa katika Biblia ni halisi.

[Ramani katika ukurasa wa 32]

(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

Ogozeko ya Ukristo

Maeneo Ambayo Yalifikiwa kwa Uharaka na Habari Njema

B1 ILIRIKAMU

B1 ITALIA

B1 Roma

C1 MAKEDONIA

C2 UGIRIKI

C2 Athene

C2 KRETE

C3 Kirene

C3 LIBYA

D1 BITHINIA

D2 GALATIA

D2 ASIA

D2 FRIGIA

D2 PAMFILIA

D2 SAIPRASI

D3 MISRI

D4 ETHIOPIA

E1 PONTO

E2 KAPADOKIA

E2 KILIKIA

E2 MESOPOTAMIA

E2 SIRIA

E3 SAMARIA

E3 Yerusalemu

E3 YUDEA

F2 UMEDI

F3 Babiloni

F3 ELAMU

F4 ARABIA

G2 PARITHIA

[Bahari na Ziwa]

C2 Bahari ya Mediterania

D1 Bahari Nyeusi

E4 Bahari Nyekundu

F3 Ghuba ya Uajemi

[Ramani katika ukurasa wa 32, 33]

(Ona mpangilio kamili katika nakala iliyochapishwa)

Safari Za Paulo

Safari ya Kwanza ya Umishonari (Mdo 13:1–14:28)

H3 Antiokia (ya Siria)

H3 Seleukia

G4 SAIPRASI

G3 Salamisi

G4 Pafosi

G3 PAMFILIA

F3 Perga

F3 PISIDIA

F2 Antiokia (ya Pisidia)

G2 Ikoniamu

G2 LIKAONIA

G2 Listra

G3 Derbe

G2 Listra

G2 Ikoniamu

F2 Antiokia (ya Pisidia)

F3 PISIDIA

G3 PAMFILIA

F3 Perga

F3 Atalia

H3 Antiokia (ya Siria)

Safari ya Pili ya Umishonari (Mdo 15:36–18:22)

H3 Antiokia (ya Siria)

H3 SIRIA

H3 KILIKIA

H3 Tarso

G3 Derbe

G2 Listra

G2 Ikoniamu

F2 Antiokia (ya Pisidia)

F2 FRIGIA

G2 GALATIA

E2 MISIA

E2 Troasi

E1 SAMOTHRAKE

D1 Neapolisi

D1 Filipi

C1 MAKEDONIA

D1 Amfipoli

D1 Thesalonike

D1 Berea

C2 UGIRIKI

D2 Athene

D2 Korintho

D3 AKAYA

E2 Efeso

G4 Kaisaria

H5 Yerusalemu

H3 Antiokia (ya Siria)

Safari ya Tatu ya Umishonari (Mdo 18:22–21:19)

H3 SIRIA

H3 Antiokia (ya Siria)

G2 GALATIA

F2 FRIGIA

H3 KILIKIA

H3 Tarso

G3 Derbe

G2 Listra

G2 Ikoniamu

F2 Antiokia (ya Pisidia)

E2 Efeso

E2 ASIA

E2 Troasi

D1 Filipi

C1 MAKEDONIA

D1 Amfipoli

D1 Thesalonike

D1 Berea

C2 UGIRIKI

D2 Athene

D2 Korintho

D1 Berea

D1 Thesalonike

D1 Amfipoli

D1 Filipi

E2 Troasi

E2 Asosi

E2 Mitilene

E2 KIOSI

E2 SAMOSI

E3 Mileto

E3 Kosi

E3 RODESI

F3 Patara

H4 Tiro

H4 Tolemai

G4 Kaisaria

H5 Yerusalemu

Safari ya Kwenda Roma (Mdo 23:11–28:31)

H5 Yerusalemu

G4 Kaisaria

H4 Sidoni

F3 Mira

F3 LIKIA

E3 Kinido

D3 KRETE

D4 KAUDA

A3 MALTA

A3 SICILY

A3 Sirakusi

A1 ITALIA

B2 Regiamu

A1 Puteoli

A1 Roma

Barabara Kuu (Ona kichapo)

Makutaniko Saba

E2 Pergamamu

E2 Thiatira

E2 Sardi

E2 Smirna

E2 Efeso

F2 Filadelfia

F2 Laodikia

[Mahali pengine]

E3 PATMO

F2 Kolosai

F5 Aleksandria

F5 MISRI

G1 BITHINIA

G5 Yopa

G5 Lida

G5 Gaza

H1 PONTO

H2 KAPADOKIA

H4 Damasko

H4 Pella

[Bahari na Ziwa]

D4 Bahari ya Mediterania

[Picha katika ukurasa wa 33]

Jumba la maonyesho huko Mileto, ambako Paulo alikutana na wazee kutoka Efeso

[Picha katika ukurasa wa 33]

Madhabahu ya Zeusi huko Pergamamu. Wakristo katika jiji hili waliishi ‘mahali kiti cha ufalme cha Shetani kilipokuwa’—Ufu 2:13

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki