Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 110
  • Kazi za Mungu za Ajabu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kazi za Mungu za Ajabu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kazi za Mungu za Ajabu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kazi Kubwa na za Ajabu za Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Yehova Atujua Vema!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Je! Kweli Mungu Anakujua?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 110

Wimbo Na. 110

Kazi za Mungu za Ajabu

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 139)

1. Mungu, wanijua vizuri,

Nilalapo na niamukapo.

Na fikira zangu umechunguza,

Maneno na matendo

yangu wajua.

Sirini nilipofanyizwa,

Uliiona mifupa yangu.

Yote yalikuwa yameandikwa.

Unastahili sifa

na utukufu.

Ee, Yehova, una hekima nyingi;

Nafsi yangu inajua vema.

Hata katika giza la usiku,

Roho yako ingeniongoza.

Yehova nijifiche wapi,

Kutoka mbele za uso wako?

Si milimani wala Kaburini,

Gizani wala baharini, siwezi.

(Ona pia Zab. 66:3; 94:19; Yer. 17:10.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki