Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 62
  • Sisi Ni wa Nani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sisi Ni wa Nani
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sisi Ni wa Nani?
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sisi Tu Mali ya Nani?
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
  • Sasa Tumekuwa Mwili Mmoja
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 62

Wimbo Na. 62

Sisi Ni wa Nani?

Makala Iliyochapishwa

(Waroma 14:8)

1. Wewe ni wa nani?

Unamutii nani?

Yule unayemwinamia

Huyo ndiye Mungu wako.

Miungu wawili

Huwezi kuabudu

Na kuwapenda kikamilifu,

Kwa moyo wako wote.

2. Wewe ni wa nani?

Utamutii nani?

Kunaye wa kweli na mwongo.

Utaamua mwenyewe.

Je, ni Kaisari

Utakayemutii?

Ama Yehova Mungu wa kweli

Na kumutumikia?

3. Mimi ni wa nani?

Yehova nitatii.

Nitamutumikia huyo

Niweke nadhiri yangu.

Alininunua

Sitaabudu watu.

Nimekombolewa kwa Mwanaye;

Nitamusifu Yeye.

(Ona pia Yos. 24:15; Zab. 116:14, 18; 2 Tim. 2:19.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki