Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 120
  • Sikiliza, Tii, Upate Baraka

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sikiliza, Tii, Upate Baraka
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sikiliza, Tii, Upate Baraka
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Je, Uko “Tayari Kutii”?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Ni Uzima Kwao
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Ni Uzima Kwao
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 120

Wimbo Na. 120

Sikiliza, Tii, Upate Baraka

Makala Iliyochapishwa

(Luka 11:28)

1. Kristo Yesu tukimusikiliza,

Na kufanya aliyoagiza,

Tutapata furaha na fanaka,

Kwa kutii tupate baraka.

(KORASI)

Tii ubarikiwe.

Mungu musikilize.

Nawe utakuwa na furaha.

Sikiliza, utii.

2. Maisha yetu ni kama majengo.

Kwenye mwamba twaweza kujenga.

Tumutii Kristo Yesu Kuhani,

Tuwe na kusudi maishani.

(KORASI)

Tii ubarikiwe.

Mungu musikilize.

Nawe utakuwa na furaha.

Sikiliza, utii.

3. Kama miti kando ya maji mengi,

Izaavyo matunda kwa wingi.

Tukitii Mungu kama wanaye,

Uzima milele hatimaye.

(KORASI)

Tii ubarikiwe.

Mungu musikilize.

Nawe utakuwa na furaha.

Sikiliza, utii.

(Ona pia Kum. 28:2; Zab. 1:3; Met. 10:22; Mt. 7:24-27.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki