Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 107
  • Njooni Kwenye Mlima wa Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Njooni Kwenye Mlima wa Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Njooni Kwenye Mlima wa Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shukrani kwa Ajili ya Subira ya Kimungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 107

Wimbo Na. 107

Njooni Kwenye Mlima wa Yehova

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 2:2-4)

1. Tazama uone,

Mulima wa Yehova.

Uko, juu zaidi,

Kuliko mingine.

Kutoka dunia,

Watu wapiga mwendo.

Nao waita wengi,

Wamwabudu Mungu.

Mudogo, munyonge,

’takuwa taifa hodari.

Twapiga hatua,

Yehova anatubariki.

Umati mukubwa,

Unajiunga nasi.

Nao waukubali

Ufalme wa Mungu.

2. Agizo tunalo,

La kuhubiri Neno.

Nasi tunatangazia

wote Ufalme.

Kristo atawala,

Awahimiza wote.

Pote duniani

Wamusikie Yeye.

Neno la Yehova,

Linawafungulia njia.

Tunayo furaha,

Kuwasaidia wengine!

Sote tushiriki

Kwa kuwasaidia

Watu wajue Mungu

Wapate uzima.

(Ona pia Zab. 43:3; 99:9; Isa. 60:22; Mdo. 16:5.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki