Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 16
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Je, Mungu Hukubali Ndoa Kati ya Watu wa Jinsia Moja?
    Amkeni!—2005
  • Ndoa
    Amkeni!—2013
  • Ndoa Inapaswa Kuwa Muungano wa Kudumu
    Amkeni!—2002
  • Ndoa​—Zawadi Kutoka kwa Mungu
    Jinsi ya Kudumu Katika Upendo wa Mungu
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 16
Watu wa jinsia moja wakifunga ndoa

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?

Jibu la Biblia

Muumba wetu aliweka sheria kuhusu ndoa muda mrefu kabla serikali za kisasa hazijabuni sheria za ndoa. Kitabu cha kwanza cha Biblia kinasema: “Mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye atashikamana na mke wake nao watakuwa mwili mmoja.” (Mwanzo 2:24) Kulingana na kitabu Vine’s Expository Dictionary of Biblical Words, neno la Kiebrania “mke,” linamaanisha “mwanadamu ambaye ni wa jinsia ya kike.” Yesu alikazia kwamba wale wanaofungwa nira pamoja katika ndoa wanapaswa kuwa “mwanamume na mwanamke.”—Mathayo 19:4.

Hivyo, Mungu alikusudia ndoa iwe kifungo cha kudumu, uhusiano wa karibu zaidi kati ya mwanamume na mwanamke. Wanaume na wanawake wameumbwa ili wakamilishane ili watoshelezane kihisia na kingono na pia ili waweze kutunza watoto.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki