Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 17
  • Je, Biblia Inaruhusu Talaka?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Biblia Inaruhusu Talaka?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • Talaka Biblia Inasema Nini Hasa?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1988
  • Kuchagua Talaka
    Amkeni!—1999
  • Heshimu “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 17
Wenzi wa ndoa wanaofikiria talaka

Je, Biblia Inaruhusu Talaka?

Jibu la Biblia

Biblia inaruhusu talaka. Hata hivyo, Yesu alitaja sababu moja tu ya kuvunja kifungo cha ndoa, aliposema: “Mtu yeyote anayemtaliki mke wake na kumwoa mwingine, ila kwa sababu ya uasherati [kufanya ngono nje ya ndoa], anafanya uzinzi.”—Mathayo 19:9.

Mungu anachukia mtu anayetumia udanganyifu na hila ili kupata talaka. Mungu mwenyewe atawahukumu wale wanaowaacha waume au wake zao bila sababu nzuri, hasa ikiwa wanafanya hivyo wakiwa na nia ya kufunga ndoa na mtu mwingine.—Malaki 2:13-16; Marko 10:9.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki