Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 129
  • Kushikilia Tumaini Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kushikilia Tumaini Letu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kushikilia Tumaini Letu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kushikilia Sana “Tumaini la Furaha”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Imba Wimbo wa Uchangamshi wa Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Wimbo Mpya
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 129

Wimbo Na. 129

Kushikilia Tumaini Letu

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 6:18, 19)

1. Kwa karne nyingi watu wako gizani.

Kazi zao ubatili mutupu.

Inazidi kuonekana wazi:

Kujiokoa hawawezi.

(KORASI)

Mwimbieni na kushangilia!

Ufalme wake unakaribia.

Uovu ataufutilia;

Tumaini letu twashikilia.

2. ‘Siku ya Mungu iko karibu sana!’

Tusilie, ‘Jamani hata lini?’

Karibuni tutapata uhuru.

Yehova Mungu musifuni.

(KORASI)

Mwimbieni na kushangilia!

Ufalme wake unakaribia.

Uovu ataufutilia;

Tumaini letu twashikilia.

(Ona pia Hab. 1:2, 3; Zab. 27:14; Yoe. 2:1; Rom. 8:22.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki