WIMBO NA. 17
“Nataka”
Makala Iliyochapishwa
1. Upendo wa Kristo Yesu,
Ulimchochea kuja.
Katujali sana,
toka moyoni,
Kwa maneno na matendo.
Wagonjwa aliwaponya,
Viziwi, vipofu pia.
Kazi yake aliitimiza.
Na alisema: ‘Nataka.’
2. Tumwige Mwana wa Mungu,
Kila siku maishani.
Tuonyeshe watu
tunawapenda,
Neno Lake wajifunze.
Fadhili tuwaonyeshe,
Kwa maneno na matendo.
Wajane nao yatima pia,
Tuwaambie: ‘Nataka.’
(Ona pia Yoh. 18:37; Efe. 3:19; Flp. 2:7.)