Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 17
  • ‘Nataka’

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • ‘Nataka’
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Nataka’
    Mwimbieni Yehova
  • Watazame Mayatima na Wajane Katika Dhiki Yao
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • “Nataka”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mungu​—⁠Kielelezo cha Upendo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 17

WIMBO NA. 17

“Nataka”

Makala Iliyochapishwa

(Luka 5:13)

  1. 1. Upendo wa Kristo Yesu,

    Ulimchochea kuja.

    Katujali sana,

    toka moyoni,

    Kwa maneno na matendo.

    Wagonjwa aliwaponya,

    Viziwi, vipofu pia.

    Kazi yake aliitimiza.

    Na alisema: ‘Nataka.’

  2. 2. Tumwige Mwana wa Mungu,

    Kila siku maishani.

    Tuonyeshe watu

    tunawapenda,

    Neno Lake wajifunze.

    Fadhili tuwaonyeshe,

    Kwa maneno na matendo.

    Wajane nao yatima pia,

    Tuwaambie: ‘Nataka.’

(Ona pia Yoh. 18:37; Efe. 3:19; Flp. 2:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki