Wimbo 42
“Njia Ndiyo Hii”
1. Mungu anaita; Njia ni hii,
Njia Yehova ametuonyesha.
Mufereji wake wa peke’ sana,
wa kuonyea na wa kusemea.
Njia hii itembee.
Usingoje! Usisite!
Masikio yetu yanausikia.
Na tuseme juu yake.
Atusaidia tuitembee.
Mapito manyofu tuyatembee.
2. Na sauti nyuma, inapendeza,
Mwalimu wetu ametufundisha.
Tunasikiza kwa makini sana.
Hatua zetu zisiende kombo.
Pita hapa kwa ukweli,
patakata, na pasafi.
Ona kwa imani amani yaletwa,
naye Yesu kwa Ufalme.
La hatugeuki tumeishika,
Kwa njia ya Mungu twasonga mbele.
3. Njia ya Yehova tutangazie
Wenye kusikiza ulimwenguni.
Kama njiwa wanakuja pamoja
Wajia Yehova ni kimbilio.
Njia yake ya amani.
Uhuru anaotupa.
Njia za adili na za kupendeza
za uzima wa milele.
Haya mbele songa inua kichwa,
Kazia Ufalme macho kikiki.