Wimbo 203
Yehova Aongoza Watu Wake
1. Maarifa Mungu anatoa.
Anaagiza watu wake kwa subira!
Alitupa hiari ya moyo.
Anataka kufikia mioyo yetu.
2. Pole pole, kwa wakati wake,
Kwa roho takatifu atufunulia.
‘Wakiliye’ anatuarifu,
Mwongozo huo wachangamusha mioyo.
3. Maagizo hunyosha makosa,
Na yanawapa walio adili’ nguvu.
Tukijirekebisha, na Mungu
Atatuongoza kwa jina lake bora.
4. Twashukuru musaada wake,
Kufahamu zaidi nuru ya ukweli.
Mungu Rafiki yetu mukubwa;
’Tatuongoza wakati huu wa mwisho.