Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 203
  • Yehova Aongoza Watu Wake

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Aongoza Watu Wake
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova, Nguvu Yetu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova, Nguvu Yetu
    Mwimbieni Yehova
  • “Yehova ni Mchungaji Wangu”
    Mwimbieni Yehova
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 203

Wimbo 203

Yehova Aongoza Watu Wake

(Zaburi 31:3)

1. Maarifa Mungu anatoa.

Anaagiza watu wake kwa subira!

Alitupa hiari ya moyo.

Anataka kufikia mioyo yetu.

2. Pole pole, kwa wakati wake,

Kwa roho takatifu atufunulia.

‘Wakiliye’ anatuarifu,

Mwongozo huo wachangamusha mioyo.

3. Maagizo hunyosha makosa,

Na yanawapa walio adili’ nguvu.

Tukijirekebisha, na Mungu

Atatuongoza kwa jina lake bora.

4. Twashukuru musaada wake,

Kufahamu zaidi nuru ya ukweli.

Mungu Rafiki yetu mukubwa;

’Tatuongoza wakati huu wa mwisho.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki