Wimbo 192
Kujulisha Ukweli wa Ufalme
1. Ni zamani mwenendo wa
Mukristo hatukujua.
Ndipo Yehova katoa,
Waziwazi ile kweli.
2. Pendeleo tukaona
Kutumikia Ufalme,
Kusifu Yehova Mungu,
Kutukuza Jina lake.
3. Tunatoa ushuhuda
Milangoni na njiani.
Na mafunzo ya Biblia
Twafundisha ile kweli.
4. Duniani kote kote
Ibada inapanuka,
Tutumike kwa umoja,
Hadi Mungu atosheke.
(Umeendelezwa)