Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 111
  • Nuru Yazidi Kung’aa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Nuru Yazidi Kung’aa
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Nuru Inazidi Kuongezeka
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Nuru Inazidi Kuongezeka
    Mwimbieni Yehova
  • Fuata Nuru ya Ulimwengu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1993
  • “Nuru Imekuja Ulimwenguni”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 111

Wimbo 111

Nuru Yazidi Kung’aa

(Mithali 4:18)

1. Nuru ya Neno la Mungu yazidi

Kung’aa na kuzidi Siku karibu.

Na Yehova, anafunua kweli;

Anatusihi hivi: ‘Tega, sikio.’

Hatumo gerezani mwa

Dini ile ya uwongo.

Kweli zipo.

“Siku ya Bwana,”

Ona nuru kama nuru ya jua,

Kuwapa waadilifu mwangaza mwingi,

Nuru ya Mungu.

2. Nuru kubwa inang’aa njiani.

Yaletwa na Yehova na kwa upendo.

Afanya kufahamu kweli wazi;

Anafinyanga watu na kweli zake

Kwa kutokukamilika

Huenda tukakosea;

Na ukweli

unasafisha.

Mungu wetu anatuangazia.

Bado anatoa nuru yake tukufu,

Nuru zaidi.

3. Nuru nyingi inatuangazia

kama nuru ya jua la adhuhuri.

Yehova ni nuru atuangaza;

’Angaza njia yetu, tusiogope.

Tusishuku kamwe wala

Kuwa na haraka kamwe.

Shika njia

usiiache.

Kuna nuru na itaongezeka.

Waadilifu Wanafurahia nuru.

Nuru zaidi.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki