Wimbo 216
“Mwe na Shauku Nyororo”
1. Yehova ana shauku kwao wataka
Kibali yake sasa!
Rehema na wema wake zafurahisha;
Kwake twapata pumuziko.
2. Upendo wa kidugu uwe na shauku
Nyumbani mwake Mungu.
Na mwenendo wetu ukuheshimu Mungu
Nasi tudumishe umoja.
3. Sisi Wakristo tu mumoja na mwenzake,
Tukijaliana na,
Kuheshimiana, na hangaikiano
Hatutawaudhi wengine.
4. Kwa hekima tuzingatie shauku, na
Kama Yesu kafunza.
Wema wa moyo na ufahamu wa pendo
Wafurahisha wengi pia.