Wimbo 105
Mpe Heko Mzaliwa wa Kwanza wa Yehova!
1. Heko Muzawa kwanza
—Ni Murithi yeye—
Tangu aumbwe yeye,
Katii Babaye.
Kafanya vilivyoko
Vya mbingu, vya chini,
Mungu akatukuza
Yu muneni wake.
2. Ingawa alikuwa
Mutu wa kimungu
Hakujilinganisha
Na cheo cha Mungu.
Kashuka chini yeye
Kujinyenyekeza
Atetee Yehova
Uzima atoe.
3. Yesu kakwezwa naye
Mungu juu sana
Wa Yehova wakili
Atakase jina.
Kwenye Har–Magedoni
’Talinda wa’budu,
Aharibu adui,
Alete amani.
4. Mupe heko wa kwanza!
Ufalme tangaza.
Kwenye nyumba uweko;
Kweli dumisheni.
Nafusi kujitunza.
Funza watu kazi.
Na kuhimiza ndugu
Wamushangilie.