Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 34
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
    Mwimbieni Yehova
  • Kuishi Kulingana na Jina Letu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kazi Yetu ya Upendo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kazi Yetu ya Upendo
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 34

Wimbo 34

Kuishi Kulingana na Jina Letu

(Isaya 43:10-12)

1. Yah Mweza Yote, wa tangu milele,

U haki, pendo si la kifani,

Chemuchemi ya kweli, hekima, na

U Mwenyezi Mukuu mbinguni.

’Kumi maelfu malaika zako

Uumbaji wakusifu sana.

Unatuita Mashahidi wako;

E’ na tuishi kwa jina letu!

2. Tusaidie, Yah, nyakati zote

Tukustahi, “kondoo” kulisha,

Kuzifuata hatua za Yesu

Tukifuatisha maagizo.

Tutatunza mwendo wetu daima,

Tusiliharibu jina lako.

Ni pendeleo kuwa Mashahidi;

E’ na tuishi kwa jina letu!

3. Na tufanyapo kazi bora yako,

Upendo, amani, vikiwako,

Tu radhi kimungu nyakati zote;

Furaha tele kwa sifa zako.

Daima tuishi kwa jina letu;

Kweli ya uzima tupe watu;

Tufurahishe sana moyo wako,

Ee Yehova, Mufalme wetu!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki