Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 164
  • Watoto—Zawadi Bora za Kutoka kwa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watoto—Zawadi Bora za Kutoka kwa Mungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwalea Watoto Katika Ulimwengu Wenye Uendekevu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
  • Muujiza wa Uhai
    Mwimbieni Yehova
  • Muujiza wa Uhai
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 164

Wimbo 164

Watoto—Zawadi Bora za Kutoka kwa Mungu

(Zaburi 127:3, 4)

1. Watoto zawadi toka kwa

Mungu, ni mali kufundisha.

Tuwalenge kama mishale

Ya shujaa kwenye shabaha.

Hao zawadi;

Mungu asema:

‘Tumia fimbo’ Kwa upendo.

Toa sala uwazoeze.

2. Kujua moyo wa kijana,

Inataka ustadi mwingi.

Twaanza mapema kufunza

Ukweli wakiwa wachanga.

Tuguse moyo;

Na tukiwahi.

Tuombe Mungu musaada,

Tutumie maneno yake.

3. Kupashana habari nao,

Watajiona wako huru

Kusema ya moyoni mwao;

Tutakuwa rafiki zao.

Usikemee.

Pasha habari.

Sisi tusiwe na lawama

Tulengapo mishale hiyo.

4. Watoto ni urithi wetu

—Bali ni mali yake Mungu.

Uzao uletao mema

Wakijua jema na baya.

Twatumaini

Watajifunza.

Tumai kulipwa na Mungu.

Tusifu Mungu na watoto.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki