Wimbo 2
Kumtii Mungu Kuliko Wanadamu
1. Mambo yote tunafanya;
Tupendeze Mungu.
Hivyo wasioamini,
Wanatushangaa.
Kuliko kutii watu,
Tunatii Mungu.
Maisha na tufanyayo
Yamutegemea.
2. Twapa Kaisari yake,
Haki watawala.
Mungu twaheshimu hivyo
Kwamba ni wa kweli.
Sisi tulinunuliwa
Tuwe mali yake,
Mungu tu twatumikia
Kutii Bwanetu.
3. Ili tusifu Yehova
Tuwe wa amani,
Tusiwe waasi kamwe
Wala kupigana.
Twatumikia Mungu na,
Theokrasi yake,
Bila woga enzi yake
Twaishuhudia.
4. Kwanza utumishi wetu.
Hatutazuiwa,
Wengi wanapata kiu;
Ya Neno la Mungu.
Watu wajapozuia;
Hatutasimama:
Tuzidi kutii Mungu;
Hataacha sisi!