Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 160
  • Kutembea kwa Ukamilifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutembea kwa Ukamilifu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kutembea kwa Utimilifu
    Mwimbieni Yehova
  • Kutembea kwa Utimilifu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tembea Katika Njia ya Utimilifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 160

Wimbo 160

Kutembea kwa Ukamilifu

(Zaburi 26:1)

1. Nihukumu mimi, E Yehova.

Nimekutumai, wewe sana sana.

Nichunguze na unijaribu;

Takasa akili, moyo, nibariki.

(Korasi)

2. Sikai na waovu waongo.

Waufanyiao ukweli utani.

Usitwae uhai wangu na

Waovu wapenda rushwa na ugomvi.

(Korasi)

3. Nimependa kao la nyumbako.

Nitoe ibada; yako safi sana.

Nizunguke madhabahu yako

Nihubiri kote shukurani zangu.

(KORASI)

Ila mimi, Nitaazimia

kuenda milele kwa ukamilifu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki