Wimbo 106
Tuangalie Jinsi Tunavyotembea
1. Twenende vema Tuseme vema,
Wenye hekima, macho tuwe
Na wakati tununue,
Mufumo wa Shetani.
Twenende vema Tuseme vema,
Wenye hekima, macho tuwe.
2. Vema ’hubiri Na kufundisha,
Ili wapole waamue.
Kwalo funzo la Biblia,
Wote tusaidie.
Vema ’hubiri Na kufundisha,
Hivyo wapole waamue.
3. Vema ’salimu, Watende vema
Wote kwenye huduma yetu.
“Kondoo” tumutunzie
Yesu Muchunga wetu.
Vema ’salimu, Watende vema,
Mutu, ye yote tusikwaze.