Wimbo 108
Neno la Yehova ni Jaminifu
1. Kama mvua kutoka mbinguni
Na inazalisha dunia,
Ndivyo na Neno lake Yehova;
’Tatimia, litafunuliwa.
2. Yoshua aliambia yule
Israeli wema wa Mungu.
Ahadi zake zote Yehova
zilitimia; kwa nguvu zake.
3. Kwa warithi wa ahadi Mungu
Kaonyesha neno hakika.
“Mimi naapa,” kasema Mungu.
Tuna tumaini kama nanga.
4. Neno la Mungu ni la hakika.
Ahadi yake ‘tatimia.
Katika ule Mufumo Mupya,
Tutasifu Mungu mwaminifu.