Wimbo 146
Kimbilia Ufalme wa Mungu!
1. Mutafuteni Yehova, wapole;
Na uadilifu na upole.
Wakati wa hiyo hasira yake
Awafiche siku ile.
(Korasi)
2. Njoni, wenye njaa ya kweli, haki;
Mbona muhuzunike, mulie?
Mungu mujie, Mwonezi mwepuke
Yesu mumunyenyekee.
(Korasi)
3. Kwa kufurahi vichwa inueni.
Ni wazi upo Ufalme wake!
Nuru ya Yehova ikubalini
Na mumwogope yeye tu!
(KORASI)
Ufalme wa Mungu kimbilia,
Shikamana na huo (na huo)
Utapata ulinzi na baraka;
Amri yake sikia. (sikia.)