Wimbo 189
Kutangaza Siku ya Kisasi cha Yehova
1. Tarumbeta zalia;
Waziwazi sana.
Na siku ya kisasi
Inakaribia.
Tunatangaza wazi,
Hatuhofu watu.
Na onyo litangazwe;
’Falme kazaliwa.
2. Vita ni ya Yehova.
Yesu ni amiri.
Ushindi kamili, kwa
Ukweli na haki.
Mbinu zake Shetani
Zitabatilika.
Mungu ametufunza
Kuipiga vita.
3. Walinzi na waonye.
Pamoja wasema.
Na kila mutu pake
Atakavyo Mungu.
Wakati wa Mungu wa
Sisi kuhubiri
Na kutoa ripoti,
Wapunguka sana.