Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 32
  • “Nyumba kwa Nyumba”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Nyumba kwa Nyumba”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Nyumba kwa Nyumba”
    Mwimbieni Yehova
  • “Nyumba kwa Nyumba”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanawatembelea Watu Nyumba kwa Nyumba?
    Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi Kuhusu Mashahidi wa Yehova
  • Kutangaza Ukweli wa Ufalme
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 32

Wimbo 32

“Nyumba kwa Nyumba”

(Matendo 20:20)

1. Kila nyumba, Kila ’lango,

Neno twaeneza.

Kila muji, Kila shamba,

“Kondoo” walishwa.

Habari njema za ’Falme,

Yesu alisema.

Vijana hata wazee

Wanazitangaza.

2. Kila nyumba, Kila ’lango,

Wokovu twataja.

Wanaomwita Yehova

Kwao unakuja.

Wataitaje jina la

Wasiyemujua?

Nyumbani, ‘langoni pia,

Jina fikisheni.

3. Kwa kweli, Si kila ’lango

Tunakosikiwa;

Kwingine tunagombezwa,

Bila kusikiwa.

Siku za Yesu si wote

Walimusikia.

“Kondoo” wangesikia;

Hatuvunjwi moyo.

4. Basi twende kila ’lango

Tweneze habari.

“Kondoo” na “mbuzi” pia

Kujichagulia.

Angaa Yah tutataja,

Kweli kutangaza.

Tuendapo kila ’lango,

’Taona “Kondoo.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki