Wimbo 58
Yehova, “Mungu wa Faraja Yote”
1. Mungu anatupa faraja;
Yeye anatupenda.
Tufariji, watu kwa Neno,
Chini ya Mwana wake.
2. Kuna taabu na mateso;
Yanatupata sote.
Mungu ’tachangamusha moyo,
Kwani twashuhudia.
3. Bariki Mungu wa faraja;
Twaona uhakika.
Twasaidiwa na kulishwa
Tunapovumilia.
4. Nguvu, amani ya akili,
Tunaweza kupata.
Tulifunzwa kweli na Yesu:
Yehova ni upendo.