Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 153
  • Yehova, Mungu wa Wokovu Wetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova, Mungu wa Wokovu Wetu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Dumisha ‘Tumaini Lako la Wokovu’!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Wokovu Ni Nini?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Wokovu—Inachomaanisha kwa Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
  • Hii Ndiyo Siku ya Wokovu!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 153

Wimbo 153

Yehova, Mungu wa Wokovu Wetu

(Zaburi 85:7)

1. Bwana Mungu kule juu,

Tusamehe dhambi zetu.

Tulizaliwa dhambini

Hatukuwa na ukweli.

Tafadhali tuokoe.

Tuongoze, E Yehova.

Utupe kibali chako,

Wokovu wako tuimbe.

Wokovu wako tuimbe.

2. Tumekusanywa zizini

Mwako, tukiwa kondoo.

Wokovu wapatikana

Kwa watu wa duniani.

Twajua amani yako

Unayowapa wapole.

Hekima kukuogopa;

Wokovu uko karibu.

Wokovu uko karibu.

3. Kweli zako zachipuka!

Tuna sababu ya shangwe.

Leo twaona ajabu,

Sababu Yesu Mufalme.

Ufalme unatawala,

Amani inasitawi.

Na tuitangaze kote.

Wokovu wetu watoa.

Wokovu wetu watoa.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki