Wimbo 200
Uthibitisho wa Uanafunzi
1. Kwa kuonyesha pendo,
Wakristo wajuliwa.
Kristo kalionyesha,
Kawa mushikamani.
Upendo kama huo,
Wapatikana wapi?
Kila mutu kufia
Mwingine, awe hai.
2. Pendo ni la kanuni,
Pendo si kwa wachache.
Linayo mema mengi,
Labariki wengine.
Ni amuri ya Yesu;
Pendo lasaidia.
Halijifaidi tu
Lasaidia watu.
3. Pendo laona mema.
Pendo lajenga ndugu.
Lafadhili wengine,
Latazamia mema.
Ulimwengu kujua
Mungu aturehemu,
Kupitia Mwanaye.
Lo! “Mungu ni upendo”!