Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 7
  • Tumaini la Yubile ya Wanadamu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumaini la Yubile ya Wanadamu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Ameandaa Njia ya Kukuweka Huru
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2019
  • Yubile ya Yehova—Wakati Wetu Kufurahi Sana
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Yubile ya Kikristo Yafikia Upeo Katika Mileani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1987
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 7

Wimbo 7

Tumaini la Yubile ya Wanadamu

(Mambo ya Walawi 25:10)

1. Uumbaji waugua.

Bila tumaini.

Sabato yakaribia.

Kuleta faraja.

2. Yubile yenye amani;

Yaleta uhuru,

Yesu atafanya hilo;

Mungu amesema.

3. Kwa utawala wa Yesu,

Watu kuwa bora.

Yubile ya utukufu

Utumwa ukome.

4. Watangaza tumaini

Hili la furaha.

Majibu ya sala zao

Wanatazamia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki