Wimbo 140
Kumngojea Yehova
1. E Mungu, fadhili zako
Kaokoa sisi!
Udumu wema kwa sisi
Tukuogopao!
2. Yehova, rehema zako
Mupya kila siku.
U mwaminifu kwa wale
Wakutumaini.
3. Vema shujaa kubeba
Nira ya ujana:
Kungojea Mungu kimya,
Kutumika kweli.
4. U fungu letu, Yehova.
Tuwe twaonyesha
Kufundishika, upole,
Tunapokujua!