Wimbo 166
Ona Jeshi la Yehova!
1. Ona jeshi huru
Toka Babeli.
Latangaza ’Falme
Yesu Mufalme.
Linasonga mbele,
Kujitolea;
Nyuso zao ngumu
Pasipo woga.
Watumai Mungu,
Nyuma ya Yesu,
Kusema: “Yehova
Anatawala.”
2. Ona watumishi
Wanatafuta
Kondoo wafungwa
Ndani Babeli.
Wakawaokoe
Kwa kurudia;
Kwenye Jumba la
Ufalme waitwa.
“Kondoo” awapo
Huru, warudi
Kufundisha kweli
Mupya na kale.
3. Ona “kundi kubwa”
Laandamana,
Na wale “mabaki,”
Chini ya Yesu,
Kikosi ’jasiri!
Kilicho chonjo,
Kama vile nyoka,
Kivumilivu.
Chaheshimu Mungu
Bwana Mufalme;
Kwa ibada safi
Chafanikiwa.