Wimbo 88
Sala ya Mtumishi wa Mungu
1. Baba, Bwana mbinguni,
Jina na litukuzwe;
Rehema zitadumu,
Mwaminifu, hakika.
Mwaminifu, hakika,
Rehema zitadumu.
2. Tufanyapo huduma,
Funza kutenda penzi.
Amuri tuzishike,
Tukae na “kondoo.”
Tukae na “kondoo,”
Amuri tuzishike.
3. Hekima yako tupe,
Safi, pole, ya pendo.
Rehema, saidia,
Na tusipendelee.
Na tusipendelee,
Rehema, saidia.
4. Jaza furaha yetu
Tushiriki huduma.
Sala zisitindike,
Ufalme ’ongezeke.
Ufalme ’ongezeke,
Sala zisitindike.