Wimbo 114
Upendo Mshikamanifu wa Mungu
1. Mungu ni upendo!
Ni mushikamanifu.
Mwanaye kamutuma,
Aliyetukomboa,
Tuwe waadilifu,
Uzima na furaha.
(Korasi)
2. Mungu ni upendo!
Kazi zashuhudia.
’Meonyesha zaidi,
Kumutawaza Kristo
Atimize agano.
’Falme umezaliwa.
(Korasi)
3. Mungu ni upendo!
Amani kapeleka.
Kwa kutupa “mutumwa,”
Akapewa wadhifa,
Abebe jina Lake,
Ili alitetee.
(Korasi)
4. Mungu ni upendo!
Upendo wake Mungu.
Tusukumwe tupende.
Saidia wapole,
Hubiri nyumba, nyumba,
Kote wafarijike.
(KORASI)
He, nyote wenye kiu,
Njoni munywe, ni bure.
Ndiyo, nyweni, oneni;
fadhili za Mungu.