Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 38
  • Kuonyesha Ushikamanifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuonyesha Ushikamanifu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kukabili Mtihani wa Uaminifu-Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Watazame Wale Waaminifu-Washikamanifu!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • “Wewe Peke Yako Ni Mwaminifu-Mshikamanifu”
    Mkaribie Yehova
  • Uaminifu-Mshikamanifu—Kwa Bei Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 38

Wimbo 38

Kuonyesha Ushikamanifu

(Zaburi 18:25)

1. Yehova anao watu,

Wapenda jina lake,

Ni kundi shikamanifu;

Lenye wakifu kwake.

Penye meza ya kiroho

Wala kwa shukurani,

Wanamupendeza Yeye

Kwa wazo, neno, tendo.

2. Tutashikamana nalo

Kundi shikamanifu,

Hata wakati wa shida

Twalitii thabiti.

’Talinda faida zalo,

Zisiharibiwe la;

Tukiiona hatari,

Tutapiga king’ora.

3. Tutasaidia ndugu,

Wapya, dhaifu pia,

Katika Funzo, huduma

Kwa fadhili, upole.

Namo katika jamaa,

Hatutazusha shaka,

Kwa kila uhusiano

Tuwe washikamani.

4. Tuwe washikamanifu,

Katika ulimwengu.

Kwao wanaostahili

Ipasavyo Ukristo.

Shetani awe muwongo,

Yehova ni wa kweli.

Ushikamanifu wetu,

Wamupendeza yeye.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki