Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 61
  • “Mimi Ni Yehova”!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mimi Ni Yehova”!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    Mwimbieni Yehova
  • Shukrani kwa Ajili ya Subira ya Kimungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Ndipo Watajua
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 61

Wimbo 61

“Mimi Ni Yehova”!

(Isaya 42:8)

1. Ona wafalme wapagani

Wamupuuza Yehova.

Waikataa enzi kuu yake,

Uweza wake wakaidi.

Lakini nani alishinda majeshi yao,

yote yakafa fo fo?

Nani kakomesha kiburi chao

Akapa ushindi watu wake?

(Korasi)

2. Ona tawala zaungana

Dhidi ya Mwanaye Mungu!

Hofu yashika mashujaa wao,

Hali maskini waugua.

Ni nani ’tavunja kongwa la mwonezi

akomboe wanyenyekevu?

Na ni nani atawaadilisha

Afanye huzuni yao shangwe?

(KORASI)

Mimi Bwana; na ni mimi tu.

Jina langu naitwa Yehova.

Mufalme nimeweka mulimani

Utiini utawala wake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki