Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 57
  • Watu wa Yehova Wenye Furaha

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Watu wa Yehova Wenye Furaha
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kimbilia Ufalme wa Mungu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Ahadi ya Mungu ya Paradiso
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 57

Wimbo 57

Watu wa Yehova Wenye Furaha

(Zaburi 89:15)

1. Wana furaha wenye vigelegele,

Wenye kweli ile, na baraka tele.

Wataenenda nuruni mwa uso wako;

Wafurahi wakijitumikisha.

(Korasi)

2. Shetani, majeshi yake watusonga;

Kazi zidisheni, Sifa vumisheni.

Kwao wapole Yehova ni kimbilio;

Atakinga watafutao haki.

(Korasi)

3. Ijapo wengi waukane ukweli.

La hatufi moyo, Tulinde, tusali.

Na tulishinde jaribu pia kushika

Ukamilifu; Mungu apendezwa.

(KORASI)

Mungu fadhili Wazionyesha

Kwa wote wahubiri jina lako.

Kwa neno, roho, kweli waijua,

Waonyesha imani kwa kazi.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki