Wimbo 194
Ingia Katika Nyua za Hekalu la Yehova!
1. Mashahidi wa Yehova wanahubiri:
‘Yehova na Yesu watawala!’
Ni wakati wa kumwabudu Bwana Mungu,
Tubaki ndani ya nyumba yake.
2. Fungueni malango na waje wapole.
Ingieni, nyuani mwa Mungu.
Mutolee zawadi mulimani kwake.
Moyo wako na ufurahike.
3. Hii ndiyo siku ‘mudogo awa elfu.’
Wanakuja “kondoo” wa Kristo.
Kama njiwa waja nyuani mwa hekalu
Wabariki jina la Yehova.
4. Ingia malangoni musifu Yehova.
Ndio mwito duniani pote.
Kutaneni katika nyua za ibada.
Nanyi mukae humo daima.